Angola yasema itajaribu kusimamia mazungumzo kati ya DRC na M23
Angola imesema siku ya Jumanne itajaribu kusimamia mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda katika siku zijazo.
Haikufahamika iwapo serikali ya Congo, ambayo ilikataa mara nyingi kufanya mazungumzo na M23, itashiriki katika mazungumzo hayo.
Msemaji wa ofisi ya rais wa Congo aliiambia Reuters mamlaka hiyo imezingatia hatua hiyo, wakati naibu msemaji wa M23 alisema ulikuwa “ni ushindi wa hoja” na kuthibitisha ushiriki wa kikundi hicho katika mazungumzo hayo.
Rais wa DRC Felix Tshisekedi alifanya ziara ya kikazi mjini Luanda na alikutana na mwenzie Joao Lourenco, ofisi ya rais wa Angola ilisema katika taarifa kwenye Facebook.
“Angola kama mpatanishi katika mzozo wa mashariki mwa Congo, itaanzisha mawasiliano na M23, ili wajumbe kutoka Congo na M23 wafanye mazungumzo ya moja kwa moja mjini Luanda katika siku zijazo,” ofisi ya rais iliongeza.
Nchi hiyo iliyoko Kusini mwa Afrika imekuwa ikijaribu kusimamia kufikiwa kwa sitisho la mapigano na kupunguza mivutano kati ya Congo na jirani yake Rwanda, ambayo imekuwa ikishutumiwa kuwasaidia kikundi cha waasi wa Kitutsi.
Rwanda imekanusha kuwapa msaada wa silaha na wanajeshi waasi wa M23, na imesema majeshi yake yanajihami dhidi ya jeshi la Congo na wanamgambo wenye chuki na Kigali.
Waasi wa M23 wamekamata miji mikubwa miwili iliyoko mashariki mwa Congo tangu Januari katika mvutano wa mgogoro wa muda mrefu ambao kiini chake ulisambaa Congo kutokana na mauaji ya halaiki ya Rwanda yam waka 1994 na juhudi ya kutaka kudhibiti eneo kubwa lenye madini nchini Congo.
#angola #waasi #m23 #congo #felixtshisekedi #JoaoLourenco #rwanda
16 Apr 2025
- The new scam targets individuals seeking to register for SHA.
16 Apr 2025
- So far, Kenyan celebrities and social media influencers have jumped on the train of using the dental braces to lose weight.
16 Apr 2025
- The clarification followed allegations from former DP Gachagua, which caused public uproar.
17 Apr 2025
- President Donald Trump called Harvard a "joke" Wednesday and said it should lose its government research contracts after the top US university refused to accept demands to come under outside political supervision.
16 Apr 2025
- The financial rot at the Technical University of Kenya is now under the spotlight, as both past and current administrators faced tough questions over how the institution sank into billions in debt.
16 Apr 2025
- The Rapid Support Forces RSF has declared a parallel government in Sudan challenging the military leadership Led by General Abdel Fattal Al Burhan and escalating a conflict already tearing Sudan apart.
16 Apr 2025
- President William Ruto has called for collective responsibility and action in the security and stability of the country.
16 Apr 2025
- The nominees for Principal Secretary (PS) positions will be sworn in tomorrow, Thursday, 17th April 2025, following their approval by Parliament.
16 Apr 2025
- Approximately 12 Kenyans lost their lives in road accidents in the 2024/25 financial year, according to the latest report by the National Transport and Safety Authority (NTSA).
16 Apr 2025
- All the affected areas will not have power from 9am to 5pm.
16 Apr 2025
- Say she lacks deep understanding of gender-based-violence, women’s rights
16 Apr 2025
- With just two months remaining to the end of the financial year, the government is yet to disburse Ksh.33 billion to the National Government Constituency Development Fund (NG-CDF), sparking concern among lawmakers.
16 Apr 2025
- Health Cabinet Secretary (CS) Aden Duale has announced a raft of measures aimed at enhancing service delivery the country’s health care sector. Speaking from parliament on Wednesday, April 16, 2025, Duale disclosed that the government will now ensure…