Mitandao ya kijamii ni moja kati ya njia mpya inayotumika na vyombo vya habari katika kuwafikia maelfu ya hadhira mpya, kwa kufahamu hilo idhaa ya kiswahili ya BBC imefanikiwa kufungua ukurasa wa mtandao wa kijamii wa TikTok ikiwa ni sehemu ya kufikia hadhira mpya ya vijana.
-
Mwanahabari wetu Elizabeth Kazibure, alifanya mahojiano na mhariri mkuu wa idhaa ya Kiswahili Athuman Mtulya kutaka kujua nini haswa cha kutarajia kwenye ukurasa huu mpya wa BBC Swahili
#bbcswahili #tiktok #tiktokkenya
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
17 Mar 2025
- Mudavadi said the security situation remains fragile with the conflict escalating and rapidly mutating into other forms of threats to human security and dignity such as sexual exploitation, abuse and gender-based violence as a mode of war, illicit…
17 Mar 2025
- The new Meru Governor Isaac Mutuma M'Ethingia took the oath of office on Monday, replacing the impeached Kawira Mwangaza who had been at the helm of the county for nearly three years.
17 Mar 2025
- According to the Ministry, the articles, titled "Raila: I Saved Ruto from Military Coup" in the Sunday Nation and "Niiivyozima Mapinduzi Dhidi ya Ruto" in Taifa Jumapili, were published on March 16, 2025, and cited an unknown source.
17 Mar 2025
- The Kenya National Union of Teachers (KNUT) leadership from the Nyanza region met Internal Security Principal Secretary Raymond Omollo on Sunday to discuss key issues affecting education, governance, and leadership development.
17 Mar 2025
- According to Kirinyaga East (Gichugu) Sub-County Police Commander Johnson Wachira, the suspect had been living with the deceased in a rented house at Karucho Shopping Centre before the tragic incident occurred.
17 Mar 2025
- Kimondo, who was arrested in Nairobi on Sunday after a warrant was issued for him, was transferred to Nakuru, where the alleged offense occurred.