- 487 viewsRais Joe Biden Alhamisi aliwasihi Wamarekani kukubali matokeo ya uchaguzi wa rais wa Jumanne, ambapo Rais wa zamani Donald Trump alimshinda mrithi wa Biden, Makamu Rais Kamala Harris. Ameahidi kukabidhi madaraka kwa Trump, ambaye anachukua hatamu za uongozi, ambaye aliwashawishi wafuasi wake kuandamana hadi kwenye jengo la bunge wakati wajumbe walipokuwa wanarasimisha ushindi wa Biden 2020. Rais Joe Biden jana Alhamisi aliahidi kukifanya kipindi cha mpito cha mrithi wake Rais mteule Donald Trump kuwa na utaratibu mzuri. Pia ameomba umoja baada ya kushindwa kwa mgombea aliyempendelea, Makamu Rais Kamala Harris. Joe Biden, Rais wa Marekani: “Watu wamepiga kura na kuchagua viongozi wao, na walifanya hivyo kwa amani. Sisi tuko katika demokrasia, nia ya watu siku zote ndiyo inashinda.” Trump, katika hotuba yake ya ushindi siku moja kabla, pia alisisitiza umoja, wakati akielezea njia ya wazi miongoni mwa wapiga ambayo imempa yeye ushindi mzuri. #rais #donaldtrump #kamalaharris #wafuasi #voaelections #voaelections2024
Biden asema: '... Huwezi kuipenda nchi yako pale tu unaposhinda, ...'
- - MITINDO YA KIPWANI ››
- 20 Apr 2025 - An Easter Friday disco night turned into a tragedy after two people were electrocuted to death and one other sustained serious injuries.
- 20 Apr 2025 - An Easter Friday disco night turned into a tragedy after two people were electrocuted to death and one other sustained serious injuries.
- 20 Apr 2025 - Police in Nyatike, Migori County are in search of a 62-year-old man accused of defiling his daughter aged 11 years.
- 20 Apr 2025 - A 3-year-old boy was found dead in Wich-Lum area, Siaya County on Saturday evening. The toddler is suspected to have been murdered by his father following a domestic squabble.
- 20 Apr 2025 - At least 11 people, including three children, were killed in New Delhi Saturday after a residential building collapsed on the outskirts of the Indian capital, local reports and authorities said.
- 20 Apr 2025 - The US Supreme Court, in a dramatic nighttime intervention Saturday, blocked President Donald Trump's unprecedented use of an obscure law to deport Venezuelan migrants without due process.
- 20 Apr 2025 - Pope Francis is expected to delight Catholics all over the world during Easter celebrations at the Vatican on Sunday, just weeks after he was fighting for his life in hospital while suffering from pneumonia.
- 20 Apr 2025 - Global tax plans targeting billionaires and multinational companies are running aground, with the United States torpedoing reforms under President Donald Trump.
- - KENHA petitioned to block trucks from passing through Eldoret town
- 20 Apr 2025 - The petition comes amid the completion of a bypass along the busy highway.