- 830 views
Mawakili wa gavana wa meru kawira mwangaza wamekanusha madai dhidi ya mteja wao yaliowasilishwa na bunge la kaunti hiyo kama vigezo vya kumtimua mamlakani. bunge la seneti linaendelea na kikao cha kujadili hoja ya kumtimua gavana wa meru kawira mwangaza. wawakilishi wadi 49 walipiga kura ya kumundoa mwangaza mamlakani huku 17 wakipinga hoja hiyo. kwa mujibu wa naibu kiongozi wa wengi wa bunge hilo aliyewasilisha hoja hiyo Zipporah Kinya, mwangaza anatuhumiwa kwa kukiuka katiba, na kutumia vibaya ofisi yake miongoni mwa masuala mengine. Ikumbukwe kwamba, hii ni mara ya tatu kwa bunge la meru kumtimua gavana mwangaza. Mwangaza atajitetea kabla ya maseneta waliochaguliwa kutoa uamuzi wao kwa kupiga kura
Bunge la seneti lajadili hoja ya kumuondoa gavana wa Meru Kawira Mwangaza
- - Duniani Leo ››
- 25 Oct 2024 - Nigeria's decision this week to block Shell's $2.4 billion (Ksh.309.6 billion) sale of its onshore assets has sent a negative signal to investors the country urgently needs to strengthen its all-important oil sector, analysts said.
- 25 Oct 2024 - Tropical Storm Trami has killed at least 26 people and forced more than 150,000 to flee their homes in the Philippines, officials said on Thursday, as it made landfall on the northeastern coast.
- 25 Oct 2024 - Thousands of security cameras have been installed across Somalia's capital to monitor the movement of al Shabaab militants and reassure residents, but they have also made business owners fearful of reprisal attacks.
- 25 Oct 2024 - Mozambique’s ruling party, Frelimo, has won the country’s divisive, violence-marred election, extending its 49-year grip on power in the southern African nation, according to official results. Daniel Chapo, Frelimo’s relatively unknown presidential…
- 25 Oct 2024 - Egypt and Qatar acted as mediators between Israel and Hamas in talks that broke down without an agreement.
- 25 Oct 2024 - Sonko's statement comes hardly days after reports emerged that he owned the title deeds.
- 25 Oct 2024 - Standoff comes after MPs voted to cut allocations to various projects being run by the counties.
- » Breaking the combat glass ceiling: Kenya's all-women Haiti mission marks historic shift in security sector25 Oct 2024 - Gender inclusion enhances peacekeeping success.
- 25 Oct 2024 - Europa League: Mourinho sees red as Fenerbahce hold Man United
- 25 Oct 2024 - Kenyans drink dirty water due to poor management, study says