Skip to main content
Skip to main content

Chama cha ODM chadai mwaniaji wake alihujumiwa

  • | KBC Video
    100 views
    Duration: 3:14
    Chama cha ODM kinayataka mashirika ya usalama kuwakamata wafuasi wa mwaniaji mmoja wa uchaguzi mdogo waKasipul kwa madai ya kuvuruga mkutano wa amani ulioandaliwa na mwaniaji wa chama hicho, Boyd Were. Chama hicho pia kinaitaka tume ya uchaguzi, IEBC kuhakikisa upo usawa kwenye kinyang’anyiro hicho. Kwingineko, vyama vidogo vya kisiasa vimebuni muungano wa ushirikiano huku vikipinga kile vinachotaja kuwa juhudi za kuvilemaza na kuvisambaratish Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #KBCchannel1 #Kenya #News