DNC: Walz awaeleza wafuasi wake jinsi watakavyo pambana kushinda uchaguzi
Gavana wa Minnesota Tim Jumatano usiku amekubali rasmi uteuzi wa chama chake kugombea nafasi ya makamu wa rais akitumia hotuba yake ya kwenye mkutnao mkuu wa Demokratik kuwashukuru wajumbe waliofurika katika ukumbi kwa “kuleta furaha” katika uchaguzi uliobadilika kwa kumpa nafasi ya juu kuwa mgombea mwenza wake wa Makamu wa Rais Kamala Harris.
"Sijatoa hotuba nyingi kubwa kama hii, lakini nimekuw anikizungumza mara nyingi," alieleza.
Wademokrat walikusanyika katika ukumbi wa Chicago, United Center wakitumaini kujenga uchachamavu aliouleta Harris tangu kuchukua nafasi ya juu ya chama ya kugombea urais mwezi uliopita.
Wanataka kutumia furaha ya Demokratik iliyokuja baada ya Rais Joe Biden kujiondoa katika kinyang’anyiro cha urais huku akiwaambia wafuasi wake kuwa wanakabiliwa na ushindani mkali dhidi ya Rais wa zamani Donald Trump.
Wamarekani wengi walikuwa hawajawahi kumsikia Walz mpaka Harris alipomfanya kuwa mgombea mwenza. Katika wiki za awali za kampeni, amewavutia wafuasi wake kutokana na uzoefu wake na alisaidia kuleta uwiano kwa uzoefu wa Harris wa mwambao kama uwakilishi wa kitamaduni wa majimbo ya Magharibikati ambao kura zao anazihitaji katika kipindi hiki. (AP).
#dnc #harris #walz #voa
21 Apr 2025
- Four Kenyans secured millions after their heroics at the oldest marathon in history.
21 Apr 2025
- President Ruto hopes to achieve several key economic milestones from his China trip.
21 Apr 2025
- The dollar sell-off on Monday has many experts worried.
22 Apr 2025
- A little outreach goes a long way in redeeming lives of despised and shunned lot
22 Apr 2025
- Religious leaders say they are only holding Ruto accountable as head of state.
22 Apr 2025
- His tenure is not without challenges amid high expectations from taxpayers.
22 Apr 2025
- Court of Appeal upheld a High Court verdict that his intentional killing of an innocent man was inexcusable.
22 Apr 2025
- The current doctor-to-patient ratio in Kenya is still far below WHO recommendation of one doctor to 1,000 patients.
22 Apr 2025
- Nassir said the most difficult part was not bringing the building down, but the evacuation of 60,000 people.
22 Apr 2025
- Kenya’s hopes of qualifying for the 2025 Toyota Junior Golf World Cup in Japan now rest on the shoulders of seven rising golf stars who were officially flagged off yesterday at the Royal Nairobi Golf Club ahead of the All Africa Junior Team Championship…
22 Apr 2025
- With his storm of tariffs on Chinese goods, US President Donald Trump has torched ties with Beijing and likely wrecked any hope of meeting his counterpart Xi Jinping in the near term, analysts say. Ali Wyne, a senior research and advocacy adviser…
22 Apr 2025
- Pope Francis died of a stroke, causing a coma and "irreversible" heart failure, according to his death certificate released by the Vatican on Monday.
22 Apr 2025
- Nairobi City Thunder (NCT) basketball team has received a major boost ahead of the upcoming Basketball Africa League (BAL) championship, after being assigned a Senegalese NBA G-League player to reinforce the squad. The team is also eyeing continental…