Familia za Wapalestina zilizo koseshwa makazi zashuhudiwa zikikimbia kutoka Gaza
Familia za Wapalestina waliokoseshwa makazi zilionekana zikikimbia mji wa Gaza, wakielekea kusini mwa Ukanda wa Gaza Alhamisi (Julai 11), kufuatia amri ya hivi karibuni ya Israeli ikiwataka waondoke eneo hilo.
Majeshi ya Israeli yalidondosha vipeperushi vikiwataka wakaazi waondoke ambapo safari yao ya kuhama iliwapeleka hadi Salah al-Din huko wilaya ya Al-Nuseirat kusini mwa Gaza.
“Tunaelekea huko Deir Al-Balah. Bila shaka hatukuweza kulala usiku kucha kutokana na mashambulizi, hofu na wasiwasi,” alisema Aisha Kazat, ambaye alionekana akikimbia eneo hilo na familia yake.
Watu walionekana wakichukua kile walichoweza, ikiwemo farasi, katika magari aina ya pick up wakielekea kusini mwa Gaza.
“Tunashuhudia mambo mengi. Wanajeshi wengi wametusimamisha na kutupekua na wametuweka kwa muda wa saa nzima. Ni adhabu… siwezi hata kuzungumza. Tuna hali ngumu kuweza kuielezea au kuzungumzia,” alisema Mona Al-Husseini alisema Mpalestina aliyekimbia.
Wanamgambo wa Hamas wanasema shambulizi kali litakalofanywa na Israeli katika mji wa Gaza City wiki hii litaharibu juhudi na hatimaye kumaliza vita wakati tu mazungumzo hayo yameingia hatua ya mwisho.
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen
22 Apr 2025
- Kenyan men have been accused of adopting outdated toxic traits.
22 Apr 2025
- Kenya's exports to the US are estimated at around Ksh109.7 billion (784 million USD).
22 Apr 2025
- The DCI revealed the case was escalated to the special unit.
23 Apr 2025
- Pope Francis' funeral will be held on Saturday in St. Peter's Square, Roman Catholic cardinals decided on Tuesday, setting the stage for a solemn ceremony that will draw leaders from around the world.
22 Apr 2025
- Easter holiday turned tragic for a family after their 6-year-old son died in a swimming pool at the Sun and Sand Hotel in Kikambala, Kilifi County.
22 Apr 2025
- Even as the more than 1.4 billion Roman Catholics around the world continue to mourn Pope Francis, speculation is building as to who among the 135 red-robed cardinals eligible to vote will succeed him.
22 Apr 2025
- The Controller of Budget (CoB) has raised a red flag over a growing financial indiscipline in counties that she says is exposing taxpayers' money to pilferage.
22 Apr 2025
- President William Ruto has arrived in China for a four-day State Visit at the invitation of His Excellency President Xi Jinping.
22 Apr 2025
- Six people have died overnight in Nairobi following heavy rains. Three of them—a mother and her two children—were killed when a boulder crushed their house in Mathare.
22 Apr 2025
- The move that marks a first in the country's history
22 Apr 2025
- April marks the awareness month
22 Apr 2025
- The DCI has taken over the probe into alleged human organ trafficking at Mediheal Hospital’s Fertility and Transplant Centre in Eldoret, Uasin Gishu County.
22 Apr 2025
- The gunmen fired indiscriminately at the convoy.