Gavana wa Kakamega Fernandes Barasa ampongeza Rais Ruto na Raila kwa kuunda serikali ya ujumuishaji

  • | TV 47
    64 views

    Gavana wa Kaunti ya Kakamega Fernandes Barasa amempongeza Rais William Ruto na Kinara wa ODM Raila Odinga kwa kuunda serikali ya ujumuishaji akisema kuwa imetuliza joto la kisiasi nchini.

    Barasa amezitaka kaunti kufuata hatua hiyo na kuhakikisha wanafanya kazi kwa upamoja pasi kuzingatia mirengo yao au vyama kwa manufaa ya wananchi.

    #TV47Matukio Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from 'Home of The Untold Stories.'

    *About TV47* 'TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES. __ For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047. __

    Connect with us:

    Website: https://www.tv47.digital/ Facebook: https://www.facebook.com/TV47KE Twitter: https://twitter.com/tv47news Instagram: https://www.instagram.com/tv47ke/ TikTok: https://www.tiktok.com/@tv47_ke Telegram: https://t.me/tv47_ke WhatsApp: 0797 047 047 __