- 143 views
Gavana wa Meru Isaac Mutuma ameeleza kutamaushwa kwake na ongezeko na wizi wa kahawa pamoja na mauaji yanayotokana na wizi wa kahawa kwenye viwada, . Tangu mwaka wa 2020 bawabu zaidi ya10 Wameuawa Meru huku Maelfu ya Magunia ya kahawa yakiibwa ila hakuna yeyote amefikishwa kotini kwa maovu hayo. gavana Mutuma ameamuru idara ya viwada kwenye Serikali yake kuchukua hatua za kisheria na kinidhamu kwa wenye viwanda wanaokiuka sheria za ulinzi wa kahawa na kuchangia Maovu hayo, huku akiagiza idara ya upelelezi, Polisi na Kamishna wa Meru kuhakikisha wanafanya uchunguzi wa kina na kuwakamata wezi wa kahawa .
Gavana wa Meru Eric Mutuma ataka uchunguzi kuhusu visa vya wizi wa kahawa kukamilishwa
- - DEFIANT RUTO ››
- 16 Apr 2025 - The financial rot at the Technical University of Kenya is now under the spotlight, as both past and current administrators faced tough questions over how the institution sank into billions in debt.
- 16 Apr 2025 - The Rapid Support Forces RSF has declared a parallel government in Sudan challenging the military leadership Led by General Abdel Fattal Al Burhan and escalating a conflict already tearing Sudan apart.
- 16 Apr 2025 - President William Ruto has called for collective responsibility and action in the security and stability of the country.
- 16 Apr 2025 - Approximately 12 Kenyans lost their lives in road accidents in the 2024/25 financial year, according to the latest report by the National Transport and Safety Authority (NTSA).
- 16 Apr 2025 - With just two months remaining to the end of the financial year, the government is yet to disburse Ksh.33 billion to the National Government Constituency Development Fund (NG-CDF), sparking concern among lawmakers.
- 16 Apr 2025 - Say she lacks deep understanding of gender-based-violence, women’s rights
- 16 Apr 2025 - The National Assembly has approved the nomination of Stephen Isaboke as Principal Secretary for Broadcasting and Telecommunications but recommended that he be reassigned to a different state department due to potential conflict of interest stemming from…
- 16 Apr 2025 - President William Ruto has berated former Kakamega Senator Cleophas Malala, the playwright behind Butere Girls' play Echoes of War, citing that his administration will protect the children from negative antics at all costs.
- 16 Apr 2025 - He issued a stern warning while hosting the winners of 2025 drama and film festival.
- 16 Apr 2025 - “Let nobody scare people that Kenya is going to default.”