- 129 views
Mabingwa watetezi Gor Mahia sasa wako pointi tatu nyuma ya viongozi wa ligi kuu Police FC baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya KCB katika mechi iliyopangwa upya iliyochezwa kwenye uwanja wa Machakos. Mechi hiyo hapo awali ilipangwa kufanyika Jumapili alasiri lakini mvua kubwa huko Machakos ilifanya uwanja kujaa maji na usichezeke. Gor Mahia ilifunga bao la pekee katikati ya kipindi cha kwanza kutoka kwa nahodha austin odhiambo katika dakika ya 32. Wakiwa na mechi moja ya ziada, gor mahia wamezoa pointi 46, pointi mbili nyuma ya tusker fc katika nafasi ya pili na pointi tatu nyuma ya viongozi Police FC.
Gor Mahia yakaza kamba kwenye ligi
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- 8 Apr 2025 - A family that went missing in Tsavo East National Park has been found after a 24-hour search operation.
- 8 Apr 2025 - Kuria Kimani, the MP for Molo and chair of the National Assembly Finance Committee, says the government might introduce tax increments in the 2025 Finance Bill in case of shortfalls in funding the 2025/26 financial year.
- 8 Apr 2025 - The CS emphasized that the government will not tolerate any practice that jeopardizes the integrity of the tea value chain or endangers the livelihoods of hardworking farmers.
- 8 Apr 2025 - Thirdway Alliance party leader Ekuru Aukot has shifted blame to political leaders calling out political leaders exposing government ills after being ousted.
- 8 Apr 2025 - A Nigerian court Monday jailed a popular make-up artist for six months for abusing the national currency by throwing bank notes in the air at his wedding, the anti-graft agency said.
- 8 Apr 2025 - South Sudan is at risk of returning to full-blown civil war due to a faltering peace process.
- 8 Apr 2025 - Gachagua made several explosive allegations against President Ruto.
- 8 Apr 2025 - Upon assumption of office, Duale vowed to crack down on the challenges facing the ministry.
- 8 Apr 2025 - The farmers had paralysed normal operations, affecting profits in the Kenyan economy.
- 8 Apr 2025 - Mudavadi faces scrutiny over suspected ties to new DNA party, formed by former allies.