Skip to main content
Skip to main content

Hakimu mkuu wa Mahakama ya Tigania James Macharia ajiondoa kwenye kesi ya Morris Gitonga

  • | Citizen TV
    989 views
    Duration: 1:36
    Hakimu Mkuu wa Mahakama ya Tigania James Macharia, Kaunti ya Meru amejiondoa kwenye kesi ya Mshukiwa Morris Mwika Gitonga Ambaye ameshtakiwa kwa kumchoma kwa majimoto Msichana wa miaka 15 mwezi mmoja uliopita.