Skip to main content
Skip to main content

Hatua madhubuti zawekwa kuzuia udanganyifu

  • | KBC Video
    38 views
    Duration: 1:50
    Maandalizi ya uchaguzi wa chama cha wahudumu boda boda huko Kitengela yameshika kasi huku ushindani mkali ukitarajiwa. Uchaguzi huo umevutia wagombeaji 9 kwa nafasi ya mwenyekiti, huku wasiwasi ukiibuka kutokana na vurugu zilizoshuhudiwa wakati wa uchaguzi wa awali.Kulingana na kamati andalizi, hatua zaidi zimewekwa ili kuhakikisha uchaguzi huru, wa haki na unaozingatia taratibu. Ni wanachama waliojiandikisha tu wataokaoruhusiwa kupiga kura, huku kuwasilisha kitambulisho kukiwa hitaji la lazima, tofauti na uchaguzi wa awali ambapo kila muhudumu wa boda boda alipiga kura bora alikuwa amevalia magwanda wa mhudumu wa bodabod Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #KBCchannel1 #Kenya #News