- 243 views
Hoja ya kutokuwa na imani na utendakazi wa Naibu Rais Rigathi Gachagua na mipango ya kumuondoa madarakani, ni suala ambalo limevutia hisia mseto miongoni mwa raia, mashirika ya kijamii, kidini na viongozi wa kisiasa. Baadhi ya viongozi wa kidini wameonya kwamba mdahalo huo wa kisiasa unatishia usalama wa nchi huku chama cha Jubilee kikupuuzilia mbali pendekezo la hoja hiyo na kuitaja kama mkakati wa kisiasa wa kuwapotosha wakenya kutokana na masuala muhimu yanayolikabili taifa kama vile ufisadi na udhalalishaji wa sheria. Ripota wetu John Jacob Kioria ana maelezo zaidi kwenye ulingo wa siasa.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Hisia mseto zaghubika mjadala dhidi ya Gachagua
- 25 Sep 2024 - Burkina Faso's junta said it had uncovered an international plot to overthrow it and which included the massacre in August of hundreds of civilians by Islamist insurgents.
- 25 Sep 2024 - A new global Gallup poll released Tuesday shows South Africa is one of the countries where citizens feel the least safe walking alone.
- 25 Sep 2024 - Having slipped undetected into Mali's capital weeks ago, the jihadis struck just before dawn prayers.
- 25 Sep 2024 - University students who have complaints about the current university funding model will have to wait a little longer for their appeals to be heard and their banding corrected where necessary, Education Cabinet Secretary Julius Migos has announced.
- 25 Sep 2024 - Police in Gatundu South, Kiambu County, are investigating an incident where a medical intern is reported to have died by suicide on Sunday, September 22, 2024.
- 24 Sep 2024 - Kenyan publishers are now urging the government to remove the 16 per cent Value Added Tax (VAT) on books.
- 24 Sep 2024 - The Ministry of Health has reported another confirmed case of Mpox in Kajiado County, raising the national total to seven.
- 24 Sep 2024 - The ghost of public participation in the law-making process has come to haunt the Kenya Kwanza government again.
- 24 Sep 2024 - The Ministry of Environment, Climate Change, and Forestry has issued a public notice inviting comments on a newly proposed Environmental Restoration Fee.
- 24 Sep 2024 - Boost for local firms as Nairobi bourse joins UK flagship scheme