- 90 views
Kamati ya seneti ya uwekezaji wa umma kwenye kaunti, imeelezea hofu ya kusambaratika kwa huduma za afya kwenye hospitali za umma, baada ya kutembelea hospitali kuu ya rufaa na mafunzo ya Kilifi. Kamati hiyo iligundua kuwa hospitali hiyo inadai serikali deni la bima mpya ya matibabu ya SHA, jumla ya shilingi milioni 310. Kamati hiyo ambayo imekua pwani ya imetembelea miradi mbali mbali mjini Mombasa, Kilifi na Malindi. Kulingana na gavana wa kaunti ya Kilifi Gideon Mung’aro deni hilo la zaidi ya shilingi milioni 300 limesababisha uhaba wa dawa na vifaa vya matibabu hospitalini humo.
Hospitali ya rufaa na mafunzo ya Kilifi inadai Ksh.300m za SHA
- 23 Apr 2025 - Many world leaders have announced they will travel to Rome for Pope Francis's funeral on Saturday, which is expected to draw a huge crowd in the square in front of St Peter's Basilica at the Vatican.
- 23 Apr 2025 - Former Migori Governor Okoth Obado has defended himself in the case where he was found to have a case to answer in the murder of the late university student Sharon Otieno.
- 23 Apr 2025 - Nine family members died in a suspected arson attack in Sigomre, Siaya County, on Tuesday night.
- 23 Apr 2025 - The authority apprehended a businessman in the ongoing crackdown.
- 23 Apr 2025 - In the past few weeks, gambling has triggered uproar among Kenyans.
- 23 Apr 2025 - Her lifeless body was discovered in a thicket with her hands placed over her head.
- 23 Apr 2025 - This comes just over a week after the four people pleaded guilty to smuggling 5,000 queen ants at the JKIA court.
- 23 Apr 2025 - Former Kiambu Governor Ferdinand Waititu, who is currently serving a prison sentence after being convicted on corruption-related charges, has been granted permission to amend his petition seeking release on bail.
- 23 Apr 2025 - They allege it is a scheme to corruptly hire senior officers at the expense of promoting qualified personnel.
- 23 Apr 2025 - Ruto argues that Council’s framework no longer aligns with today’s multipolar reality.