Jeshi la Israel lajiandaa na uvamizi wa ardhini Rafah
Jeshi la Israel limesema leo linapeleka vitengo viwili vya vikosi vya akiba katika Ukanda wa Gaza. Hatua hiyo imechukuliwa wakati inajiandaa na uvamizi wa ardhini katika mji wa kusini mwa Rafah. Jeshi limesema vikosi hivyo vitafanya operesheni za ulinzi na mbinu lakini halikutoa maelezo zaidi kuhusu mpango wenyewe. Vita kati ya Israel na Hamas vilianza baada ya shambulizi la Oktoba 7, ambapo Hamas walivishitukiza vikosi vya ulinzi mbalimbali vya Israel na kuvamia jamii kadhaa, wanamgambo hao wa Palestina waliwauwa watu 1,200, wengi wao raia.
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi
11 May 2024
- The transactions involve motor vehicles, land and businesses.
11 May 2024
- Penalties for Kenyans who underreport taxes could be significantly reduced in a new proposal by the National Treasury.
11 May 2024
- Motorists will have to dig deeper into their pockets if the Finance Bill 2024 is approved.
11 May 2024
- MP Yusuf Hassan distribute food items to Kamukunji residents displaced by floods
11 May 2024
- State officials led Kenyans in Friday’s nationwide tree-planting exercise in various parts of the country.
11 May 2024
- Former Kenya Medical Practitioners Pharmacists and Dentists Union Secretary-General Dr Ouma Oluga has dismissed public criticisms surrounding President William Ruto’s meeting with KMPDU officials at State House.
11 May 2024
- United States lawmaker Richard Neal has criticised the decision by House Speaker Mike Johnson to decline a request for President William Ruto to address a joint session of Congress.
11 May 2024
- President William Ruto will not address a joint session of Congress in his upcoming State visit to the United States.
11 May 2024
- Tems enthusiasts can expect to hear a very dynamic album when it drops in June.
11 May 2024
- Kuria urged the community in Nyakach to take environmental matters seriously
11 May 2024
- In a statement on Saturday on his X account, Raila said the KMPDU officials paid him a courtesy call.
11 May 2024
- Despite being treatable and preventable, cervical cancer still a nightmare for women
11 May 2024
- Ruto meets KMPDU officials, promises lasting solutions to end industrial strikes