- 671 viewsMakamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, Jumatano amekubali kushindwa katika uchaguzi wa urais, akimpigia simu Rais wa zamani Donald Trump, kumpongeza kwa ushindi wake na kuwaambia wafuasi wake kwamba si wakati wa kumaliza vita vya kutetea maono ya kimaendeleo kwa nchi hiyo. “Ni sawa kusikia huzuni na kukata tamaa,” aliuambia umati wa watu katika Chuo Kikuu cha Howard, hapa Washington, chuo alicho somea. Mgombea huyo wa chama cha Demokrat amesema mapambano yataendelea katika kura, mahakamani na majukwaa ya umma. Trump ameshinda uchaguzi wa Jumanne na kuwa rais wa 47 wa nchi hiyo huku akitwaa takriban majimbo matano kati ya saba muhimu ya ushindani na alikuwa akiongoza katika mengine mawili wakati hesabu za kura zikiendelea. Trump na makamu wake JD Vance, wataingia madarakani Januari 20 kwa muhula wa miaka minne. #rais #donaldtrump #kamalaharris #wafuasi #voaelections #voaelections2024
Kamala ampongeza Trump, aeleza kanuni ya msingi ya demokrasia
- - MITINDO YA KIPWANI ››
- 20 Apr 2025 - An Eldoret resident has petitioned Kenya Highways Authority (KENHA) to urgently consider restricting long-distance truck trailers from passing through Eldoret town and instead mandate their use of the Eldoret Southern Bypass.
- 20 Apr 2025 - An Easter Friday disco night turned into a tragedy after two people were electrocuted to death and one other sustained serious injuries.
- 20 Apr 2025 - An Easter Friday disco night turned into a tragedy after two people were electrocuted to death and one other sustained serious injuries.
- 20 Apr 2025 - Police in Nyatike, Migori County are in search of a 62-year-old man accused of defiling his daughter aged 11 years.
- 20 Apr 2025 - A 3-year-old boy was found dead in Wich-Lum area, Siaya County on Saturday evening. The toddler is suspected to have been murdered by his father following a domestic squabble.
- 20 Apr 2025 - At least 11 people, including three children, were killed in New Delhi Saturday after a residential building collapsed on the outskirts of the Indian capital, local reports and authorities said.
- 20 Apr 2025 - The US Supreme Court, in a dramatic nighttime intervention Saturday, blocked President Donald Trump's unprecedented use of an obscure law to deport Venezuelan migrants without due process.
- 20 Apr 2025 - Pope Francis is expected to delight Catholics all over the world during Easter celebrations at the Vatican on Sunday, just weeks after he was fighting for his life in hospital while suffering from pneumonia.
- 20 Apr 2025 - Global tax plans targeting billionaires and multinational companies are running aground, with the United States torpedoing reforms under President Donald Trump.
- 20 Apr 2025 - Lissu, the runner-up in the country's 2020 presidential election, was charged with treason last week.