Skip to main content
Skip to main content

Kanisa wakemea kauli ya Cherargei kuhusu utekaji nyara

  • | Citizen TV
    5,107 views
    Duration: 3:12
    Seneta wa Nandi Samson Cherargei amejipata mashakani kufuatia matamshi yake ya kuunga mkono utekaji nyara wa wanaharakati wa kenya kwenye mataifa jirani. Cherargei aliyezungumza kanisani huko kapsabet siku ya jumapili alipongeza viongozi wa uganda na tanzania kwa kukabiliana na wanaharakati na kusema kenya itamalizia pale walipowachia. Na kama gatete njoroge anavyoarifu, kanisa la KAG alikozungumzia Cherargei limejitenga na matamshi hayo huku seneta huyo akishikilia kuwa hataomba msamaha.