- 166 viewsDuration: 1:43Kaunti ya Kwale imeongoza shughuli ya uvuaji wa samaki katika vidimbwi vya samaki eneo la Mwazaro huko LungaLunga. Vidimbwi hivyo viwili vina samaki 2800 vilivyoanzishwa na serikali ya kaunti ya kwale kupitia mradi wa kemfsed unaofadhiliwa na benki ya dunia.