Skip to main content
Skip to main content

Kaunti ya Makueni yakarabati zahanati za Nthunguni na Ngiluni

  • | Citizen TV
    143 views
    Duration: 1:38
    Wakaazi wa maeneo ya Mtito Andei kaunti ya Makueni ambao wamekuwa wakisumbuliwa na wanyamapori kwa miongo kadhaa sasa wamenufaika na huduma bora za afya kutokana na ukarabati wa zahanati mbili za eneo hilo.