Skip to main content
Skip to main content

Kesi kuhusu fidia kwa waathiriwa wa mlipuko wa bomu Nairobi mwaka 1998 yaahirishwa

  • | KBC Video
    98 views
    Duration: 2:26
    Uamuzi wa mahakama kuhusu malipo ya fidia kwa waathiriwa wa mlipuko wa bomu uliotokea Nairobi tarehe 7 Agosti 1998 umeahirishwa hadi tarehe 15 mwezi Januari mwakani. Jaji wa Mahakama Kuu, Lawrence Mugambi, aliahirisha uamuzi huo akisema anahitaji muda zaidi kukagua hati za kesi hiyo kabla ya kutoa uamuzi wa mwisho. Taarifa kamili katika mizani ya haki. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive