Skip to main content
Skip to main content

Kesi ya Brian Odhiambo yaendelea Nakuru kwa ushahidi zaidi

  • | Citizen TV
    1,181 views
    Duration: 2:25
    Kesi dhidi ya maafisa sita wa shirika la huduma kwa wanyamapori KWS wanaotuhumiwa kwa kupotea kwa mvuvi Brian Odhiambo mjini Nakuru imeendelea leo ambapo mashahidi watatu walikuwa kizimbani. Watatu hao waliielezea mahakama jinsi walimuona Brian kwa mara ya mwisho akiwa mikononi wa maafisa hao. Kesi hiyo itaendela hapo kesho, ambapo shahidi mwingine mmoja atatoa ushahidi wake