Skip to main content
Skip to main content

Kindiki awataka viongozi kujiepusha na siasa za migawanyiko

  • | KBC Video
    41 views
    Duration: 2:52
    Naibu Rais Prof. Kithure Kindiki ametoa changamoto kwa viongozi waliochaguliwa, kuzingatia utekelezaji wa wajibu wao, na kujiepusha na siasa za migawanyiko. Akizungumza katika eneo la Kagema kaunti ya Murang’a, naibu rais alisema viongozi bora hutumia mamlaka waliyotwikwa kikatiba kuwatafutia wananchi ufanisi, badala ya kuungana na wananchi kulalamika. Gichuki Wachira ana taarifa hiyo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive