Skip to main content
Skip to main content

KNUT yapinga sera ya uhamisho wa walimu wakisema ni kinyume cha sheria

  • | KBC Video
    91 views
    Duration: 2:21
    Chama cha walimu humu nchini KNUT kimelalamikia kuendelea kutekelezwa kwa sera ya uhamisho wa walimu licha ya ahadi ya serikali ya kuifutilia mbali. Chama hicho kinasema sera hiyo ni sawa na adhabu kwa walimu na inahatarisha umoja wa familia pamoja na afya ya akili ya walimu. Akizungumza mjini Kapsabet, kaunti ya Nandi, katibu mkuu wa chama cha KNUT, Collins Oyuu, aliitaka serikali kufutilia mbali sera hiyo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive