Maafisa wa Marekani na Ukraine wasema Kyiv inaunga mkono usitishaji vita...
Maafisa wa Marekani na Ukraine wamekutana Jumanne mjini Jeddah, Saudi Arabia, kwa mazungumzo juu ya juhudi za kumaliza vita vya Russia na Ukraine, huku pande zote mbili zikisema Kyiv inaunga mkono pendekezo la Marekani la kusitisha vita kwa siku 30.
Taarifa ya pamoja iliyotolewa baada ya mazungumzo hayo imesema, “Ukraine imeelezea utayari wa kukubali pendekezo la Marekani kupitisha mara moja sitisho la mud ala mapigano kwa siku 30.
ambalo linaweza kuongezwa muda kwa makubaliano ya pande zote, na pia litasubiri Shirikisho la Russia kukubali na wakati huo huo kulitekeleza.
Marekani itawasiliana na Russia na kuwa kukubali kwa Russia ndiyo msingi wa kufikia amani. - VOA
#trump #zelenskyy #ukraine #russia #voa #saudiarabia #marekani
12 Mar 2025
- At least 1.4 million Kenyans living with HIV are in limbo.
12 Mar 2025
- The National Assembly was forced to speak on the matter after the notice raised eyebrows
12 Mar 2025
- The vice has led to losses by farmers in the region of billions of shillings.
12 Mar 2025
- More than 100 families have been left homeless after a forcible eviction in Ndabibi, Naivasha, amid allegations that senior government officers are colluding with a government corporation to repossess land from the farmers.
12 Mar 2025
- Wiper party leader Kalonzo Musyoka has dismissed allegations of a handshake with President William Ruto at State House, citing that he would not betray Kenyans for political gain.
12 Mar 2025
- Water Cabinet Secretary Eric Mugaa has attributed the stalled construction of the Thwake multi-purpose dam at the confluence of Thwake and Athi rivers on the Kitui-Makueni counties border to the Russia-Ukraine war.
12 Mar 2025
- Atandi will be deputized by Dr. Robert Pukose following a hotly contested but decisive election.
12 Mar 2025
- The Pharmacy and Poisons Board (PPB) has cautioned manufacturers, distributors, wholesalers and healthcare facilities to store drugs according to the specified conditions following multiple complaints from the public over health concerns posed by low-…
12 Mar 2025
- Netizens have also nicknamed him 'El Chapo' after he promised to deliver a chapati-making machine that produces one million chapatis.
12 Mar 2025
- At least 1.4 million Kenyans living with HIV are in limbo.
12 Mar 2025
- The Commission for University Education has flagged 15 institutions for operating illegally in Kenya.
12 Mar 2025
- An investigation has been launched after a Kenya Forest Service officer allegedly shot a civilian dead at Kiptunga Forest in Kuresoi South on Tuesday evening.
12 Mar 2025
- Through his lawyer, the Speaker says his participation in the proceedings is neither necessary nor legally justified