Maamuzi makubwa aliyofanya Donald Trump ndani ya mwezi mmoja madarakani
Rais wa Marekani Donald Trump ametimiza mwezi mmoja madarakani tangu alipoapishwa Januari 20.
Kuna mengi yameshajitokeza ambayo kwa namna moja ama nyingine yameligusa bara la Afrika hasa katika sekta ya afya na sekta nyinginezo.
Martha Saranga amefanya mjadala mzito na wachambuzi wa siasa za kimataifa
Yaliyomo
4:15 - Tathimni ya Trump tangu aingie madarakani
10:40 - Maamuzi yote aliyofanya Trump kwa kifupi
13:24 - Uamuzi wa Trump kujitoa WHO, utafiti
17:53 - Athari ya Uamuzi wa Trump kuzuia ufadhili wa USAID kwa Afrika
21:42- Mchambuzi kutoka Kenya
27:30 - Waathirika wa virusi vya UKIMWI Tanzania wanazungumizia athari
31: 50 - Nchi za Afrika zinaweza kujitgemea kwa rasirimali zake?
34:14 - Uamuzi wa Trump kuita mexico Ghuba ya Mexico
39:29 - Sera kutoka nje ya nchi zimeilamaza Afrika
42: 50 - DRC na mapigano ya M23 kuathirika na uondoaji wa ufadhili wa mashirika ya misaada
52:07 - Amri ya kupiga marufuku wapenzi wa jinsi moja
#Trump #bbcswahili #DonaldTrump
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
21 Feb 2025
- No casualties have been reported so far.
21 Feb 2025
- The country is facing a looming health crisis as patients grapple with high healthcare costs.
21 Feb 2025
- Pope Francis is suffering from double pneumonia diagnosed last week.
22 Feb 2025
- Dozens of female chefs have condemned "pervasive" sexism in British restaurant kitchens, saying in an open letter that the industry needs more women in top roles.
22 Feb 2025
- Landowners are now tapping container stalls for small business operations as rents take a huge chunk of their income amid a tough operating environment. In Nairobi suburbs, particularly, the number of small businesses renting container stalls continues…
22 Feb 2025
- Supreme Court judges now sue JSC to fight off removal attempts
22 Feb 2025
- Policy Statement promises nothing unusual in CS Mbadi's first Budget
22 Feb 2025
- CS Muturi resurfaces, returns to his rabble-rousing ways
22 Feb 2025
- Appetite for Kenya's 'green gold' spawns new crop of millionaires
22 Feb 2025
- Politics of fake academic certificates and successive regimes
22 Feb 2025
- LSK sues state over Sh6 billion traffic cameras
22 Feb 2025
- Ruto pledges goodies to Coast residents on Coast tour
22 Feb 2025
- Fill the gaps left by USAID freeze to combat healthcare challenges