Skip to main content
Skip to main content

Magatuzini I Hospitali ya misheni ya Litein inakabiliwa na athari ya kusitisha shughuli zake

  • | KBC Video
    38 views
    Duration: 4:01
    Hospitali ya misheni ya Litein level 5 katika kaunti ya Kericho, inakabiliwa na athari ya kusitisha shughuli zake, kutokana na changamoto za kifedha. Hospitali hiyo sasa inatoa wito kwa serikali kulipa kwa dharura madeni ya kima cha shilingi milioni-400 yanayodaiwa hospitali hiyo na kampuni za bima. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive