- 182 views
Kamanda wa polisi eneo la Pwani Ali Nuno ametoa tahadhari kwa magenge ya wahalifu wanaowahangaisha wakazi wa Likoni. Akizungumza katika ukumbi wa LICODEP huko Mombasa wakati alipokea vijana 100 walioasi uhalifu, Nuno aliapa kuwakabili wahalifu kikamilifu kwa kutumia mkono mrefu wa sheria. Kwingineko, Maafisa wa utawala wa ngazi za juu katika eneo bunge la Kiharu kaunti ya Murang'a wako kwenye mizani kwa madai ya kuwashambulia wateja na wafanyakazi wa baa moja mjini Murang'a. Timothy Kipnusu na taarifa zaidi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Magenge ya wahalifu Mombasa yaonywa
- 26 Mar 2025 - President William Ruto's speculated visit to the Mt. Kenya region is a seemingly slippery climb amid boiling political clamor.
- 26 Mar 2025 - The relationship between President William Ruto and Public Service Cabinet Secretary Justin Muturi is turning acidic over their contrasting political stances, pushing their squabble to a tipping point.
- 26 Mar 2025 - Duale was the CS for Environment.
- 26 Mar 2025 - Former Kiambu Governor Ferdinand Waititu’s bid for bail pending appeal has hit another hurdle after the Director of Public Prosecutions (DPP) objected to his fresh application.
- 26 Mar 2025 - If approved by Parliament, Ruku will replace Justin Muturi.
- 26 Mar 2025 - The United States government has lauded President William Ruto's efforts to promote regional peace, security and sustainable development.
- 26 Mar 2025 - This is the second round of changes in Ruto's Cabinet
- 26 Mar 2025 - Sh201.64 million was disbursed to 15 private universities as capitation grants to 4,521 students not placed by KUCCPS.
- - Civil servants told to tighten belts as no plans by PSC to review salaries soon
- 26 Mar 2025 - Sonko was announced as the head representative of Bodaboda riders in the country on Sunday March 16.