- 35 views
Mustakabali wa kisiasa wa Gavana wa kaunti ya Meru Kawira Mwangaza sasa umo mikononi mwa mahakama baada ya mahakama kuu kuagiza asalie ofisini akisubiri kusikizwa na kuamuliwa kwa rufaa inayopinga kutimuliwa kwake. Mwangaza ambaye alibanduliwa Jumanne usiku na maseneta alifika mahakamani kuzuia kufurushwa kwake. Haya yanajiri huku mahakama na seneti zikijipata katika njia panda huku mahakama ikatangaza uamuzi wa kuzuia kuchapishwa kwa hatua ya kuondolewa kwake mahakamani huku spika wa bunge la seneti kwa pande wake akichapishwa uamuzi huo katika gazeti rasmi la serikali. Ripota wetu Gladys Mungai anasimulia zaidi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mahakama yasitisha kubanduliwa kwa Gavana Mwangaza
- 26 Oct 2024 - France's National Assembly on Friday approved an amendment to the government's 2025 belt-tightening budget bill that would hit the country's wealthiest individuals with a billionaires tax.
- 26 Oct 2024 - In Uruguay's capital Montevideo and around this South American nation of 3.4 million people, voters are gearing up for Sunday's election, overshadowed by a plebiscite on pensions the same day and fears over crime.
- 26 Oct 2024 - A prolific "catfish" offender who pushed one of his victims, a 12-year-old US girl, to commit suicide was on Friday jailed for life at a court in Northern Ireland.
- 26 Oct 2024 - Savannah ups offer in fight for Bamburi with Tanzania firm
- 26 Oct 2024 - Kenya must embrace diversity to achieve real national prosperity
- 26 Oct 2024 - All systems set for Monday's final national primary assessment
- 26 Oct 2024 - Impeached Gachagua suffers blow after judges stay put on hearing his case
- 26 Oct 2024 - Quarter of medical training schools fail to meet standards
- 26 Oct 2024 - William Ruto risks falling into the trap of not getting the truth
- 26 Oct 2024 - Migori teachers reject proposals to merge KPSEA candidates in smaller institutions