- 245 views- - - - - VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi. Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu. Matangazo yetu yanasambazwa kupitia satellite, cable, FM na MW, na and kupitia mtandao wa vituo vya matangazo vya washirika wetu takriban 3000. Tangu kuanzishwa mwaka 1942, Sauti ya Amerika imeendelea na azma yake ya kutoa habari za kina na kuwaambia wasikilizaji wake ukweli. Tangu kipindi cha Vita Vya Pili vya Dunia, Vita Baridi, Vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa, na juhudi za ukombozi duniani kote hivi leo VOA imekuwa mfano katika kutekeleza kanuni za vyombo vya habari huru. Jiunge na VOA Swahili: » Tembelea Tovuti Yetu: https://bit.ly/3PtyNWc »Angalia Video Zaidi za VOASwahili: https://bit.ly/3TNTiiI »Pakua VOA+ katika vifaa vya Apple : https://bit.ly/VOAPlus »Download VOA+ katika vifaa vya Android https://bit.ly/3KykriI »Tembelea Tovuti yetu: https://www.voaswahili.com/ »Upende ukurasa wetu wa Facebook: https://www.facebook.com/voaswahili »Tufuatilie katika Instagram: https://www.instagram.com/voaswahili »Tufuatilie katika X: https://twitter.com/voaswahili »Tufuatilie katika YouTube: https://www.youtube.com/@VOASwahili
MAISHA NA AFYA - DAKTARI KUTOKA DIASPORA AJENGA HOSPITALI GHANA KUSAIDIA WANANCHI
- 11 May 2024 - President William Ruto will not address a joint session of Congress in his upcoming State visit to the United States.
- 11 May 2024 - Two victims of the El Wak Improvised Explosive Device (IED) attack in Mandera County were on Friday laid to rest in Mbondoni in Mwingi, Kitui County.
- 11 May 2024 - President Willima Ruto says the government will engage stakeholders in the health sector, including health workers' unions, to promote industrial harmony and long-lasting solutions to challenges experienced by personnel in the sector.
- 11 May 2024 - Two people lost their lives on Friday after a building collapsed at Kanduyi Market in Bungoma County.
- 11 May 2024 - Residents of Lodokejek village, Samburu West Sub County, are calling on the government to send professional and experienced divers to help them in the search of one of their own who drowned a week ago while trying to cross the submerged River Seiya…
- 11 May 2024 - The Pharmacy and Poisons Board (PPB) has issued a public alert regarding a suspicious batch of counterfeit Herceptin 440mg (Trastuzumab 440mg) drugs, used in the treatment of breast and stomach cancer, that has surfaced in the Kenyan market.
- 11 May 2024 - Registrar of political parties emphatic in the rejection on grounds that the name is ‘offensive and would cause confusion.’
- 11 May 2024 - Bread, milk and mosquito repellent among commodies to be exempt from VAT, but other products that were exempt will now be taxed.
- 11 May 2024 - A landslide struck the homestead of a retired teacher in Tuturung, Sambirir Ward, Marakwet East Sub-County, claiming the lives of two individuals and leaving another injured. The incident, which occurred in the early hours of Saturday morning, was…
- 11 May 2024 - The government agency noted investigations had commenced into the matter.