- 203 views- - - - - VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi. Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu. Matangazo yetu yanasambazwa kupitia satellite, cable, FM na MW, na and kupitia mtandao wa vituo vya matangazo vya washirika wetu takriban 3000. Tangu kuanzishwa mwaka 1942, Sauti ya Amerika imeendelea na azma yake ya kutoa habari za kina na kuwaambia wasikilizaji wake ukweli. Tangu kipindi cha Vita Vya Pili vya Dunia, Vita Baridi, Vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa, na juhudi za ukombozi duniani kote hivi leo VOA imekuwa mfano katika kutekeleza kanuni za vyombo vya habari huru. Jiunge na VOA Swahili: » Tembelea Tovuti Yetu: https://bit.ly/3PtyNWc »Angalia Video Zaidi za VOASwahili: https://bit.ly/3TNTiiI »Pakua VOA+ katika vifaa vya Apple : https://bit.ly/VOAPlus »Download VOA+ katika vifaa vya Android https://bit.ly/3KykriI »Tembelea Tovuti yetu: https://www.voaswahili.com/ »Upende ukurasa wetu wa Facebook: https://www.facebook.com/voaswahili »Tufuatilie katika Instagram: https://www.instagram.com/voaswahili »Tufuatilie katika X: https://twitter.com/voaswahili »Tufuatilie katika YouTube: https://www.youtube.com/@VOASwahili
MAISHA NA AFYA: Matatizo ya ulaji kupita kiasi yanavyoongezeka barani Afrika
- 2 Oct 2024 - Uasin Gishu Senator Jackson Mandago and 7 others will now face fresh charges in connection with the Ksh.50 million Finland education scam.
- 2 Oct 2024 - Members of the clergy have called on Deputy President Rigathi Gachagua to climb down and seek forgiveness from his boss, President William Ruto.
- 2 Oct 2024 - Environment Cabinet Secretary Aden Duale has called out middle-class households, industries, and large companies as the primary contributors to the pollution of the Nairobi River.
- 2 Oct 2024 - Nominated Senator Crystal Asige and Thomas Njeru, the co-founder and CEO of local agri-tech insurance firm Pula, are the only Kenyans featured on this year's TIME Magazine's Time100 Next list.
- 2 Oct 2024 - Moi University dons and other workers have carried out fresh demos in Eldoret City demanding payment of delayed salaries and implementation of Collective Bargaining Agreements (CBA).
- 2 Oct 2024 - The Ministry of Health now says the number of Mpox cases in the country have risen to 9 after one more person contracted the disease in the last 24 hours.
- 2 Oct 2024 - Israel's Iron Dome air defence system is just one part of a multi-layered missile shield that the state has deployed and which again proved its worth against Iran's missile barrage Tuesday.
- 2 Oct 2024 - Environment Climate Change and Forestry Cabinet Secretary Aden Duale has challenged the National Environment Management Authority (NEMA) to use its enforcement powers to end degradation of the environment largely driven by non-compliance of established…
- 2 Oct 2024 - The government has directed all healthcare providers and facilities across the country to adopt the new Social Health Authority (SHA) to avoid service interruption.
- 2 Oct 2024 - The United Nations secretary general has condemned Iranian strikes on Israel, after earlier being banned from the country for his initial response. Speaking to the UN Security Council, António Guterres said it was high time to stop what he called the "…