- 137 views
Watu wawili wameuawa kwa kupigwa risasi huku wengine wawili wakijeruhiwa katika shambulizi la majambazi lililotokea mapema asubuhi ya jana eneo la Loberer, kwenye barabara ya Marigat kuelekea Chemolingot. Waathiriwa, ambao walikuwa wakielekea katika soko la Nginyang, walivamiwa na majambazi wanaoshukiwa kuwa wamegeuka kuwa wanyang’anyi wa barabarani. Washambuliaji walilenga msafara wa wafanyabiashara uliokuwa ukisindikizwa na polisi, ambapo malori mawili yalishambuliwa kwa risasi. Hali ya taharuki imetanda katika eneo hilo kutokana na mauaji ya wanaume wawili waliokuwa madereva, huku polisi zaidi wakipelekwa kuimarisha usalama. Miili ya marehemu imehifadhiwa katika makafani ya Hospitali ya Kaunti ya Baringo.
Majangili washambulia watu kwenye barabara ya Marigat
- 22 Apr 2025 - The National Assembly Health Committee has set up an inquiry committee to probe the kidney transplant scandal at Mediheal Hospital in Eldoret.
- 22 Apr 2025 - Pope Francis' funeral will be held on Saturday in St. Peter's Square, Roman Catholic cardinals decided on Tuesday, setting the stage for a solemn ceremony that will draw leaders from around the world.
- 22 Apr 2025 - Two Kenyans and a Somali national facing terror-related charges will remain in custody for a month after a Nairobi court denied them bond on Tuesday.
- 22 Apr 2025 - The Cabinet Secretary for Public Service, Human Capital Development, and Special Programmes, Geoffrey Ruku, has assured citizens that the issuance of Good Conduct Certificates and other essential government services will be expedited through Huduma…
- 22 Apr 2025 - Residents of Mwea constituency in Kirinyaga county have raised concerns over the rise of donkey theft in the region.
- 22 Apr 2025 - A change in popes — through death or resignation — is a complicated process, with centuries-old rituals involving the transition in leadership for both the spiritual head of the global Catholic Church and the Vatican’s head of state.
- 22 Apr 2025 - Pope Francis's funeral will take place on Saturday, the Vatican has confirmed.
- 22 Apr 2025 - This comes as President Ruto flies to China to revitalise relations.
- 22 Apr 2025 - Nominated Senator Gloria Orwoba has criticised the newly sworn-in Gender Cabinet Secretary (CS) Hanna Cheptumo over her suitability for the role.
- 22 Apr 2025 - The warning comes two weeks after the CS announced a crackdown on workers and facilities accredited by the body.