- 210 viewsMafuriko yaliyochochewa na mvua kubwa yaliyatenga baadhi ya maeneo ya kusini magharibi mwa manispaa ya Chongqing nchini China Alhamisi (Julai 11), kituo cha televisheni cha taifa CCTV kimeripoti. Picha za kanda za video zilizochukuliwa angani zimeonyesha majengo ya makazi na miti huko katika kijiji cha Chang yamefunikwa na maji ya mafuriko. Nyumba takriban 280 ziliathiriwa, CCTV ilisema, ikiongeza kuwa kiasi cha wakazi 490 walilazimika kuhamishwa. Katika operesheni kama hii ya uokoaji, kiwango cha maji kilionekana kuwa na kina hadi kwenye kifua, Ripoti ya CCTV ilionyesha. Mamlaka katika eneo zimetangaza mpango wa dharura wa kukabiliana na hali ya mafuriko, ripoti hiyo ilisema. Idadi ya vifo kutokana na mvua hiyo kubwa huko Chongqing iliongezeka hadi watu watano na mmoja wao hajulikani aliko, kulingana na ripoti ya Alhamisi iliyotolewa na Shirika la habari la serikali Xinhua. #mafuriko #china #mvua #chongqing #voa #voaswahili
Makazi yazama chini ya maji
- - Vision for drylands ››
- - Privatising Posta ››
- 23 Apr 2025 - Pope Francis' funeral will be held on Saturday in St. Peter's Square, Roman Catholic cardinals decided on Tuesday, setting the stage for a solemn ceremony that will draw leaders from around the world.
- 22 Apr 2025 - Easter holiday turned tragic for a family after their 6-year-old son died in a swimming pool at the Sun and Sand Hotel in Kikambala, Kilifi County.
- 22 Apr 2025 - Even as the more than 1.4 billion Roman Catholics around the world continue to mourn Pope Francis, speculation is building as to who among the 135 red-robed cardinals eligible to vote will succeed him.
- 22 Apr 2025 - The Controller of Budget (CoB) has raised a red flag over a growing financial indiscipline in counties that she says is exposing taxpayers' money to pilferage.
- 22 Apr 2025 - President William Ruto has arrived in China for a four-day State Visit at the invitation of His Excellency President Xi Jinping.
- 22 Apr 2025 - Six people have died overnight in Nairobi following heavy rains. Three of them—a mother and her two children—were killed when a boulder crushed their house in Mathare.
- 22 Apr 2025 - The move that marks a first in the country's history
- 22 Apr 2025 - April marks the awareness month
- 22 Apr 2025 - The DCI has taken over the probe into alleged human organ trafficking at Mediheal Hospital’s Fertility and Transplant Centre in Eldoret, Uasin Gishu County.
- » From banditry to highway robbery: Panic as Baringo bandits kill two in daring police-led convoy ambush22 Apr 2025 - The gunmen fired indiscriminately at the convoy.