Skip to main content
Skip to main content

Mama Vane Nyanchoka ajifungua watoto 4 pamoja wakapewa majina yote ya Raila Odinga

  • | Citizen TV
    5,253 views
    Duration: 2:59
    Ilikuwa shangwe katika hospitali ya Nyanchwa mjini Kisii baada ya mama mmoja kujifungua watoto wanne kwa mpigo. Watoto hao wakipewa majina yote ya waziri mkuu wa zamani Raila Odinga, ikimaanisha kuwa watoto hawa wanne wana majina matatu ya Raila, Amolo, Odinga na wa kike akipewa jina la Ida.