- 158 views
Mamlaka ya Afya ya Jamii SHA imesistiza kwamba afisa mkuu mtendaji wa Tume ya Walimu Nancy Macharia aliipotosha Kamati ya Bunge kuhusu elimu kwa kudai kwamba SHA ilikosa kuwasajili walimu alfu mia tatu sitini katika mpango wa bima ya afya. Kwa Mujibu wa Usimamizi wa SHA Walimu wote wanaweza kusajiliwa katika mpango huo na wanaweza kufaidika kupitia huduma tofauti Kupitia taarifa SHA imedai kwamba ... Walimu wote na wana wao wanaweza kusajiliwa kwa Mamlaka ya Afya ya Jamii. TSC Inaruhusiwa kuwasajili walimu kwa mpango mwengine kwa manufaa zaidi . Huduma ambazo walimu wanaweza kufaidika nazo ni.. Mpango wa Afya ya msingi, Mpango wa Bima ya Afya ya Jamii na Mpango wa Dharura na magonjwa ya Muda Mrefu.
Mamlaka ya SHA yakosoa afisa mkuu wa TSC Nancy Macharia
- - ELIMU LIVE:READING ››
- 27 Apr 2025 - French police were on Saturday hunting a man suspected of killing a Muslim worshipper inside a mosque in the south of the country while filming the murder on a mobile phone and shouting insults at Islam.
- 27 Apr 2025 - A commentator yells excitedly as hundreds of spectators stand glued to a video of a racecourse -- but the athletes they are rooting for are actually tiny sperm cells.
- 27 Apr 2025 - How praise and worship make dictatorship and fuel impunity
- 27 Apr 2025 - China visit: Beyond trade, investment
- 27 Apr 2025 - Atwoli urges foreign investors to directly employ Kenyans
- 27 Apr 2025 - Perhaps the strongest evidence that Ruto is no pushover is the fact that he defeated Raila, a State-backed candidate, in the last election.
- 27 Apr 2025 - Belgium's foreign minister told AFP that Rwanda's "legitimate" security concerns in the eastern Democratic Republic of Congo could not justify its former colony's backing for the M23 armed group.
- 26 Apr 2025 - AFC Leopards’ lynchpin Ken Owino has rallied the club’s fans not to give up on them after Ingwe snapped an 8-game winless streak with a victory over Bidco United on Saturday, April 26, 2025. A 3-1 success earned a much-needed win for Leopards, their…
- 26 Apr 2025 - Private sector should integrate displaced people in prosperity journey
- 26 Apr 2025 - At least four people were killed and more than 500 injured in a powerful explosion on Saturday that ripped through a vital port in southern Iran, state media said.