Mandago afikishwa mahakamani kuhusiana na sakata ya Finland

  • | TV 47
    247 views

    Seneta wa Uasin Gishu Jackson Mandago pamoja na washtakiwa wengine wawili walifikishwa mbele ya mahakama ya Nakuru leo jumatatu kwa kuhusiana na kesi ya kuhusika kwao katika sakata ya mpango wa elimu nchini Finland. Shahidi wa serikali alitoa ushahidi dhidi yao.

    #UpeoWaTV47

    Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from 'Home of The Untold Stories.'

    *About TV47* 'TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES. __ For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047. __

    Connect with us:

    Website: https://www.tv47.digital/ Facebook: https://www.facebook.com/TV47KE Twitter: https://twitter.com/tv47news Instagram: https://www.instagram.com/tv47ke/ TikTok: https://www.tiktok.com/@tv47_ke Telegram: https://t.me/tv47_ke WhatsApp: 0797 047 047 __