- 5,861 views
Naibu Inspekta Jenerali wa polisi Gilbert Masengeli ameomba msamaha kwa mahakama kwa kukosa kuhudhuria vikao vya mahakama kuelezea waliko watu watatu waliodaiwa kutekwa nyara na polisi katika eneo la Kitengela. Masengeli ameapa kuwa atahudhuria vikao vya mahakama na kutekeleza wajibu wake wa kuhakikisha sheria inafuatwa. Aidha ameelezea kuwa hakufanya kusudi kukataa kufika mahakamani bali alikuwa na majukumu ya kikazi yaliyomfanya kukosa kufika mahakamani. Aidha amesema kuwa anaheshimu mahakama na atawajibika. Haya yanajiri huku akikata rufaa kuhusu hukumu ya miezi sita aliyopewa na jaji Lawrence Mugambi.
Masengeli aomba mahakama msamaha asema hakukusudia kukaidi mahakama
- 20 Sep 2024 - Nairobi has been categorised as a wealth hub worth keeping an eye on for companies operating in technology, wealth management and luxury goods sectors, a new report shows.
- 20 Sep 2024 - A total of six witnesses testified this week in the ongoing murder trial of police officer Duncan Ndiema, alias Champe, who was charged with the fatal shooting of a 13-year-old boy in Huruma, Nairobi, during the 2020 Covid-19 pandemic lockdown.
- 20 Sep 2024 - Deputy IG Gilbert Masengeli has now tendered an apology to the High Court after being found in contempt in a case related to the disappearance of three Kenyans.
- 20 Sep 2024 - University students are developing technology that incorporates artificial intelligence to help reduce the maternal mortality rate in Kenya.
- - DIG Gilbert Masengeli finally in court after snubbing summons seven times
- 20 Sep 2024 - The Kenyan government intends to facilitate the recruitment and deployment of 5,000 to 10,000 Kenyans seeking jobs overseas each week, Labour and Social Protection CS Alfred Mutua has revealed.
- 20 Sep 2024 - Slumped on the ground over a mound of dirt, Divine Wisoba pulled weeds from her daughter's grave.
- 20 Sep 2024 - Gachagua vowed not to be intimidated, asserting that only the people can impeach him.
- 20 Sep 2024 - A middle-aged man has been sentenced to 30 years behind bars for hacking another individual to death in Nanyuki, Laikipia County.
- 20 Sep 2024 - The accused persons allegedly proceeded to buy cars, and houses in Garden City using money siphoned from the insurance company.