Masuala muhimu yanayoibuliwa na viongozi wa dunia katika mkutano wa UNGA
Wiki hii, viongozi wa dunia watatumia jukwaa la kimataifa kupaza sauti zao kuhusu nchi zao, katika mwaka uliogubikwa na migogoro mbalimbali, changamoto za haki za binadamu, maendeleo na mabadiliko ya hali ya hewa, ikiwa ni suala la juu.
Wakati ambapo Shirika la Afya Duniani (WHO) linaashiria kuwa watu bilioni 3.6 wanaishi katika maeneo yanayohusika na mabadiliko ya hali ya hewa.
Siku ya Jumapili, wakati wa mkutano wa Future Summit, wajumbe 193 wa chombo hicho cha dunia waliidhinisha mkataba wa “Pact for the Future”.
Waraka huo unakusudia kuyaunganisha mataifa katika kutatua changamoto mbalimbali kuanzia mabadiliko ya hali ya hewa na akili mnemba (AI) hadi migogoro inayoenea na kuongezeka ukosefu wa usawa na umasikini – na kuboresha maisha ya watu zaidi ya bilioni 8 duniani.
Mkataba huo wenye kurasa 42 ulipitishwa Jumapili wakati wa ufunguzi wa mkutano wa siku mbili wa “Summit of the Future”, ambao uliendelea siku ya Jumatatu huku viongozi kutoka ulimwenguni kote wakitoa maoni yao kuhusu changamoto mbalimbali zinazoikabili dunia.
.
Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa – ulifunguliwa chini ya kauli mbiu: Kutomuacha yeyote nyuma: Kuchukua hatua pamoja kwa ajili ya kusukuma mbele amani, maendeleo endelevu na utu wa binadamu kwa ajili ya vizazi vya sasa na baadaye.
Rais wa Marekani Joe Biden ametoa hotuba yake ya mwisho Jumanne kabla ya kumaliza muhula wake wa urais.
#unga #mkutanomkuu #mataifa #marekani #newyork #un #viongozi #voa #voaswahili
21 Apr 2025
- China’s Ministry of Commerce has issued a stern warning as the trade tiff with the US escalates.
21 Apr 2025
- The late Pope had some iconic moments in his 88-year existence.
21 Apr 2025
- Families of the lost individuals have been milling around the scene since Sunday.
21 Apr 2025
- Some cardinals who are being talked about as "papabili" to succeed Pope Francis, whose death at the age of 88 was announced by the Vatican on Monday.
21 Apr 2025
- The Vatican, headquarters of the Catholic Church, is the smallest state in the world, with its own newspaper, national anthem in Latin and supreme leader -- the pope.
21 Apr 2025
- African leaders praised the "legacy of compassion" and "commitment to inclusivity" of Pope Francis as they joined global mourning over his death on Monday.
21 Apr 2025
- South Sudan's army said it had recaptured a key town in Upper Nile state that it lost to an ethnic Nuer militia in March in clashes which led to the arrest of First Vice President Riek Machar and a spiralling political crisis.
21 Apr 2025
- Former President Uhuru Kenyatta has joined leaders and catholic faithful worldwide in mourning Pope Francis who passed on early this morning.
21 Apr 2025
- China’s Ministry of Commerce has issued a stern warning as the trade tiff with the US escalates.
21 Apr 2025
- A hush reigned over the normally boisterous St Peter's Square on Monday as the faithful and the curious alike gathered at the seat of Catholicism to mark the death of Pope Francis.
21 Apr 2025
- She was aboard Mash Poa and found herself in hospital, allegedly stupefied by a fellow traveller.
21 Apr 2025
- Prof Elijah Omwenga appointed the substantive vice chancellor of the university.
21 Apr 2025
- Twenty-three bombs have been found underground in holes dug by residents of Hellu village, Moyale constituency, Marsabit county.