Skip to main content
Skip to main content

Matamshi ya Seneta wa Nandi Samson Cherargei yakosolewa na kanisa la KAG

  • | Citizen TV
    4,931 views
    Duration: 3:16
    Seneta wa Nandi Samson Cherargei alijipata mashakani kutokana na matamshi yake ya kuunga mkono utekaji nyara wa wanaharakati wa kenya kwenye mataifa jirani. Cherargei aliyezungumza kanisani huko Kapsabet siku ya jumapili alipongeza viongozi wa Uganda na Tanzania kwa kukabiliana na wanaharakati na kusema kenya itamalizia pale walipowachia.Kanisa la KAG alikozungumzia Cherargei lilijitenga na matamshi hayo huku seneta huyo akishikilia kuwa hataomba msamaha.