- 424 viewsJude Mbaku ni mwanahabari mwingine, na mhariri mkuu wa DMRTV Buea, mkaguzi mkuu wa kuhakiki habari za kweli katika eneo ambalo hapo awali liliathiriwa na habari potofu. Mbaku anasema ameona makundi yanayotumia mitandao ya kijamii kupotosha umma, na matokeo yake ni makubwa. Jude Mbaku wa DMRTV Buea -Mhariri Mkuu anasema: Timu ya Cameroon ilipokwenda Cote d’Ivoire kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, tetesi zilienea kwamba Njie Clinton amejiuzulu kwenye kikosi. Na walioeneza habari hizi walikuwa wapiganaji waliojitenga. Hili halikufanywa kama jambo la makosa. Ilikuwa imeandaliwa vizuri na kutayarishwa vyema ili kupotosha watu. Karloff anasema kuwa waandishi wa habari wa Cameroon wanakabiliwa na changamoto nyingi katika kuripoti kwa usahihi, ikiwa ni pamoja na ufadhili mdogo, hatari za usalama, na upatikanaji mdogo wa habari. Boris-Kaloff Meneja wa kituo cha CBS Buea anatoa maelezo zaidi: "Nchini Cameroon, ni vigumu kupata takwimu na data. Unajua, nimekwenda kwa wajumbe wa kanda wa usafiri kuulizia takwimu za magari yaliyosajiliwa kusini-magharibi, haswa huko Buea, na nikaambiwa niende kusimama barabarani kuanza kuhesabu magari mimi mwenyewe." Ripoti ya Njodzeka Danhatu wa VOA, Buea, Cameroon. #timu #mpira #cameroon #voa #voaswahili #njieclinton #cotedivoire #judembaku #dmrtvbuea #mharirimkuu #voa #voaswahili #habaripotofu
Mhariri wa Kituo cha DMRTV aeleza jinsi habari potofu zilivyo enezwa katika soka
- - Ulimwengu wa Soka ››
- - MITINDO YA KIPWANI ››
- 12 Apr 2025 - The Ministry of Interior is raising the alarm over the increasing incidents of gender-based violence in Taita Taveta.
- 12 Apr 2025 - A section of Narok leaders now say they will oppose the construction of a proposed international airport on land allegedly linked to former President Uhuru Kenyatta in Maasai Mara.
- 12 Apr 2025 - Farouk serves as Ruto's personal assistant, who many leaders including the former DP Rigathi Gachagua complained of.
- 12 Apr 2025 - The Member of County Assembly died after a short illness.
- 12 Apr 2025 - Irene Wambua Mbithe, a woman from Machakos County who lost her eye to a hyena attack, has successfully undergone the first process of artificial eye surgery transplant at Lions' Firstsight Eye Hospital.
- 12 Apr 2025 - Trump replaces Obama portrait with painting of... himself
- 12 Apr 2025 - Another blow to contractor of demolished 11-storey building
- 12 Apr 2025 - The protests emerged ahead of President Ruto's tour of the region.
- 12 Apr 2025 - National Assembly minority leader Junet Mohamed has sustained attacks on former Deputy President Rigathi Gachagua over his shareholding claims, which hounded him out of office. Speaking during the funeral ceremony of the late George Odour, Raila Odinga’…
- 12 Apr 2025 - The President has given the Cabinet Secretaries expanded roles in their various capacities.