Skip to main content
Skip to main content

Mila zilizopitwa na wakati zachangia dhuluma Lamu

  • | KBC Video
    121 views
    Duration: 1:45
    Desturi za kitamaduni na ukosefu wa uwezeshaji wa kiuchumi kwa wanawake zimetambuliwa kama sababu kuu za dhulma za kijinsia katika Kaunti ya Lamu. Wadau wanasema licha ya kampeni za uhamasisho zinazoongozwa na serikali, mila za tangu jadi zinaendelea kuwa kichocheo cha utekelkezaji wa dhulma hizo.Wakizungumza wakati wa kikao cha wadau kilichoandaliwa kutathmini hatua zilizopigwa kupambana na dhulma za kijinsia na unyanyasaji wa watoto, washiriki walielezea wasiwasi kuwa waathiriwa wengi, hasa wanawake, bado wako katika mahusiano yanayoendeleza dhulma kutokana na utegemezi wa kifedha. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #KBCchannel1 #Kenya #News