Mkaazi wa Dar es Salaam asema Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar ni bora duniani
Wakati Tanzania ikiadhimisha siku ya Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, uliotimiza miaka 60 Ijumaa, Rais Samia Suluhu Hassan amewataka vijana nchini humo kuuenzi na kuulinda muungano.
Wakati huo huo vijana katika maadhimisho hayo wameitaka serikali kuwapatia elimu juu ya Muungano ili kuwasaidia kuufahamu kwa undani pamoja na kutatua changamoto zilizopo.
Sherehe za Muungano zimefanyika Jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru na kuhudhuriwa na Marais kutoka nchi 7 za Afrika ikiwemo Kenya, Burundi, Zambia, Somalia, Comoro na Namibia. Pia imehudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Kiserikali kutoka Barani Afrika.
Wakati akilihutubia taifa Rais Samia amewahimiza vijana kuulinda na kuuenzi Muungano kwa kuwa ni urithi na tunu ya Taifa la Tanzania na ni tunu ya Afrika kwa ujumla.
“Matokeo ya Sensa ya mwaka 2022 yanatuonyesha kwamba idadi kubwa ya Watanzania ni vijana kwa kuzingatia hilo uimara na uendelevu upo mikononi mwa vijana. Nina wasihi sana vijana wote wa Tanzania muwe walinzi wa Muungano huu,” alisema Rais Samia.
Hata hivyo bado vijana wamekuwa wakilalamika ukosefu wa elimu ya Muungano ambayo ilipaswa kutolewa ili kuwasaidia kufahamu haki zao na pia kufahamu mipaka yao katika muungano huo.
#Maadhimisho #muungano #zanzibar #tanganyika #voa #voaswahili #raiswatanzania #samiasuluhuhassan #JuliusNyerere #abeidamanikarume
12 May 2024
- According to the Office of the Government Spokesperson, the floods in Kenya have claimed the lives of 257 Kenyans.
12 May 2024
- Every employer is required by law to obtain and maintain an insurance policy for the employees.
12 May 2024
- NTSA also mounted a countrywide crackdown targeting all motorists, especially school bus drivers.
12 May 2024
- A former senior commander of Colombia's now-defunct FARC guerrilla group, who was rumored to be dead, appeared in a video released Saturday expressing his support for government proposals to start talks.
12 May 2024
- Migori County government has launched a modern lactation and creche room in a bid to fight child mortality in the region.
12 May 2024
- Sombre moods has engulfed Kapletundo area in Bomet after 3 people suffocated to death inside a half-full well.
12 May 2024
- The US Federal Aviation Administration, sharply criticized after the crashes of two Boeing planes in 2018 and 2019, is again being dragged into a maelstrom surrounding the major American aerospace manufacturer.
12 May 2024
- Leaders from the Rift Valley have urged parents to exercise caution as schools open on Monday after postponement for 2 weeks due to the heavy rainfall that has occasioned flooding in the country.
12 May 2024
- Diana Chepkemoi emerged the winner of the 3400m girls U18 category, at the 24th International School Federation World School Cross Country Championship at the Ngong racecourse on Sunday. Chepkemoi who finished 2nd at this year’s Sirikwa Classic Cross…
12 May 2024
- The Taliban-run ministry for refugees said on Sunday the death toll from flooding in northern Afghanistan was 315 with more than 1,600 people injured.
12 May 2024
- Mombasa locals living in fear after dreaded youthful gangs strike again
12 May 2024
- Fake certificates shame our nation
12 May 2024
- KMPDU defends return-to-work deal amid grumbling it abandoned interns