Skip to main content
Skip to main content

Mmiliki wa jengo la Easy Coach akamatwa kwa kukaidi maagizo ya kutolipaka rangi jengo hilo

  • | Citizen TV
    13,281 views
    Duration: 1:18
    Mmiliki wa jengo la Easy Coach hapa jijini Nairobi amekamatwa huku Serikali ya Jiji ikianza msako dhidi ya wamiliki wa majengo wanaokaidi maagizo ya kupaka rangi upya majengo yao.