- 221 viewsWafanyakazi wa zima moto wameendelea kupambana na moto mkubwa kote kaskazini mashariki mwa Japan katika mji wa mwambao wa Ofunato Ijumaa (Februari 28). Kanda za video zilizochukuliwa kutoka angani zilionyesha moshi ukipaa angani kutoka upande wa eneo la msitu mlimani na mabaki ya majengo yaliyoteketea kwa moto. Moto huo unakadiriwa umeunguza kiasi cha hekta 1,200 (eka2,965), shirika la utangazaji la Japan NHK limeripoti Ijumaa, likiwanukuu maafisa wa eneo. Mtu mmoja amefariki. Zaidi ya kaya 1,300 katika eneo wamehamishwa ikiwa nimatokeo ya moto huo, vyombo vya habari vya eneo vimeripoti,huku watu zaidi ya 3,000 wakitafuta hifadhi katika maeneoyaliyotengwa kuwapokea. - Reuters #ofunato #japan #moto #wazimamoto #mlimani #japannhk #vifo #voa #voaswahili #motowamsituni
Moto wa msituni wateketeza nyumba, maelfu ya watu watafutiwa hifadhi
- 31 Mar 2025 - The advisory encourages citizens to stay informed by following local news and official alerts for updates on aftershocks and emergency response efforts.
- 31 Mar 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has asked President William Ruto to launch his new projects in the Mount Kenya region and stop what he calls riding on his predecessor Uhuru Kenyatta’s old projects.
- 31 Mar 2025 - The head of the junta in Burkina Faso has pardoned 21 soldiers convicted of involvement in a failed coup in 2015, according to an official decree seen by AFP on Monday.
- 31 Mar 2025 - He has continued to use social media for activism campaigns, particularly on human rights, even after the interdiction.
- 31 Mar 2025 - Implementation of the controversially amended union constitution has been suspended.
- 31 Mar 2025 - Ageism denying senior citizens access to quality health care
- 31 Mar 2025 - The publication claimed that there were reports of former Mungiki leader Maina Njenga's involvement in mobilisation efforts.
- 31 Mar 2025 - Why Kenya must develop effective policies and laws on reparations
- 31 Mar 2025 - Police were out in force and businesses and offices closed in key Zimbabwe cities after authorities warned against demonstrations called for Monday to demand that President Emmerson Mnangagwa leave power.
- 31 Mar 2025 - Wetang'ula faults Natembeya for opposing ban on ID vetting