Skip to main content
Skip to main content

Msako wa pombe haramu waendelea Nandi siku 4

  • | Citizen TV
    496 views
    Duration: 1:27
    Kwa siku ya nne mfululizo Mamlaka ya Kitaifa ya NACADA imeendeleza msako wa pombe haramu katika Kaunti ya Nandi. Hatua hii inafuatia ripoti zinazoonyesha kuongezeka kwa matumizi ya vileo na dawa za kulevya katika eneo hilo.