Skip to main content
Skip to main content

Mtoto wa miaka 6 afariki baada ya kuanguka mtoni Ilbisil

  • | Citizen TV
    439 views
    Duration: 1:36
    Mtoto wa miaka sita amekufa maji baada ya kutumbukia ndani ya mto mjini Ilbissil, kaunti ya Kajiado. Inadaiwa mkasa huo ulitokea mtoto huyo alipokuwa akicheza na wenzake.