- 246 viewsKutana na Pauline Mwaka, mwanamke mwenye umri wa miaka 28, anayekabiliana na changamoto ya mila ya zamani ya kuto mruhusu mwanamke kuingia kwenye uvuvi wa bahari kuu. Jamii yake ya pwani huko Kilifi, Kenya inaamini kuwa wanawake kujitosa majini huleta dalili mbaya na kusababisha ajali na masaibu kwa wavuvi wa kiume baharini. Lakini amedhamiria kwenda kinyume na dhana hiyo na ndiye mwanamke wa kwanza katika jamii yake kuthubutu. Anatumai safari yake haitabadilisha maisha yake tu bali pia itabadilisha maoni ya jamii yake kuhusu jukumu la wanawake. Katika mwaka ambao amekuwa akivua samaki, amewavutia wanawake wengine wawili kuungana naye baharini. ✍🏽: @ahmedbahajjofficial 🎥: @frankmavura Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
Mvuvi mwanamke Kenya
- 24 Feb 2025 - Most employees at USAID will be placed on leave or fired by midnight on Sunday, the aid agency said, as President Donald Trump's administration plows ahead in slashing government spending.
- 24 Feb 2025 - One Kenyan officer, who was part of the Multinational Security Support (MSS) mission in Haiti was killed during an operation in SÉGUR – SAVIEN.
- - 25 people hospitalized in Bomet after consuming meat from dead cow
- 24 Feb 2025 - The decision to host the RSF in Nairobi sparked criticism from diplomatic policy analysts and the Sudanese government.
- 24 Feb 2025 - How Kenya's bold security offensive helped dismantle criminal network
- 24 Feb 2025 - Turkana massacre
- 24 Feb 2025 - Three factors that led to Raila's loss in the AUC chairmanship contest
- 24 Feb 2025 - Sick nation: Crisis as private and mission hospitals halt SHA services
- 24 Feb 2025 - Diving on empty: Raw deal for diver who recovered a headless body in River Tana
- 24 Feb 2025 - Filthy, deadly: Flies in hospital wards spread drug-resistant bacteria, health experts warn