Skip to main content
Skip to main content

Mwanamke mmoja akamatwa kwa kumuua bintiye na kumjeruhi mwanawe wa kiume kaunti ya Bomet

  • | Citizen TV
    4,415 views
    Duration: 1:56
    Polisi katika eneobunge la Konoin kaunti ya Bomet wamemkamata mwanamke mmoja anayedaiwa kumuua mwanawe mwenye umri wa miaka 9 na kumjeruhi mwingine wa miaka 14 baada ya kuiba matunda kutoka shamba la jirani.