Mwananchi ahoji serikali kutozungumza na M23 italeta suluhu ya kudumu
Wakati Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi akisisitiza ombi lake kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa la kuwekewa vikwazo wale wote wanaohusika na uhalifu wa kivita na dhidi ya ubinadamu katika hotuba yake aliyoitoa Jumatano kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la UN, New York Marekani. Na pia akiridhia vikwazo ambavyo vimewekwa dhidi ya Rwanda kwa kukiunga mkono kikundi cha magaidi cha M23, bado wananchi wa Congo wanasema wanamtaka atafute suluhu na mwenzake Rais Paul Kagame wa Rwanda. Sikiliza mahojiano kamili…
Picha na mahojiano na mwandishi wa VOA Austere Malivika, DRC
#un #unga #kikaocha79 #paulkagame #felixtshisekedi #wananchi #drc #vita #voa #voaswahili #suluhu
21 Apr 2025
- China’s Ministry of Commerce has issued a stern warning as the trade tiff with the US escalates.
21 Apr 2025
- The late Pope had some iconic moments in his 88-year existence.
21 Apr 2025
- Families of the lost individuals have been milling around the scene since Sunday.
21 Apr 2025
- Some cardinals who are being talked about as "papabili" to succeed Pope Francis, whose death at the age of 88 was announced by the Vatican on Monday.
21 Apr 2025
- The Vatican, headquarters of the Catholic Church, is the smallest state in the world, with its own newspaper, national anthem in Latin and supreme leader -- the pope.
21 Apr 2025
- African leaders praised the "legacy of compassion" and "commitment to inclusivity" of Pope Francis as they joined global mourning over his death on Monday.
21 Apr 2025
- South Sudan's army said it had recaptured a key town in Upper Nile state that it lost to an ethnic Nuer militia in March in clashes which led to the arrest of First Vice President Riek Machar and a spiralling political crisis.
21 Apr 2025
- Former President Uhuru Kenyatta has joined leaders and catholic faithful worldwide in mourning Pope Francis who passed on early this morning.
21 Apr 2025
- China’s Ministry of Commerce has issued a stern warning as the trade tiff with the US escalates.
21 Apr 2025
- PS Sing'oei said Kenya hopes to move away from conventional loan arrangements.
21 Apr 2025
- A hush reigned over the normally boisterous St Peter's Square on Monday as the faithful and the curious alike gathered at the seat of Catholicism to mark the death of Pope Francis.
21 Apr 2025
- She was aboard Mash Poa and found herself in hospital, allegedly stupefied by a fellow traveller.
21 Apr 2025
- Prof Elijah Omwenga appointed the substantive vice chancellor of the university.