Skip to main content
Skip to main content

Mwanaume asombwa na maji ya mto Sakini katika eneo la Vota Machakos

  • | Citizen TV
    1,066 views
    Duration: 1:07
    Mwanamme mmoja mwenye umri wa miaka 70 amepoteza maisha baada ya kusombwa na mafuriko katika eneo la Vota, kaunti ya Machakos usiku wa jana.