- 490 views
Ndugu wawili kutoka kijiji cha Kunyak-Kapkwen katika eneobunge la Kipkelion Magharibi wanapokea matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Kaunti ya Kericho baada ya kushambuliwa na shemeji yao wakati wa kikao cha upatanisho wa wanandoa waliotengana. Inaripotiwa kuwa Mercy Chelangat mwenye umri wa miaka 27, mama wa watoto wawili, alishambuliwa nyumbani kwa wazazi wake na mumewe wa zamani Davis Kemei kwa kisu. Wanandoa hao walikuwa wametengana na walikuwa wamekutana na jamaa zao kutafuta suluhisho la amani. Kaka yake Mercy, Gilbert Kemboi, alijeruhiwa vibaya wakati alipojaribu kumlinda dada yake. Wote wawili wanatibiwa katika hospitali hiyo hiyo. Kemei naye alishambuliwa na umati wenye hasira na kupeleka hospitalini kwa matibabu.
Mwanaume awavamia mashemeji Kericho
- - Reconstituting IEBC ››
- 23 Apr 2025 - Many world leaders have announced they will travel to Rome for Pope Francis's funeral on Saturday, which is expected to draw a huge crowd in the square in front of St Peter's Basilica at the Vatican.
- 23 Apr 2025 - Former Migori Governor Okoth Obado has defended himself in the case where he was found to have a case to answer in the murder of the late university student Sharon Otieno.
- 23 Apr 2025 - Nine family members died in a suspected arson attack in Sigomre, Siaya County, on Tuesday night.
- 23 Apr 2025 - The authority apprehended a businessman in the ongoing crackdown.
- 23 Apr 2025 - In the past few weeks, gambling has triggered uproar among Kenyans.
- 23 Apr 2025 - Her lifeless body was discovered in a thicket with her hands placed over her head.
- 23 Apr 2025 - This comes just over a week after the four people pleaded guilty to smuggling 5,000 queen ants at the JKIA court.
- 23 Apr 2025 - Former Kiambu Governor Ferdinand Waititu, who is currently serving a prison sentence after being convicted on corruption-related charges, has been granted permission to amend his petition seeking release on bail.
- 23 Apr 2025 - They allege it is a scheme to corruptly hire senior officers at the expense of promoting qualified personnel.
- 23 Apr 2025 - Ruto argues that Council’s framework no longer aligns with today’s multipolar reality.